Matukio: Mhe. Novatus Makunga Awakabidhi Majukumu Viongozi wa Vijiji mbele ya Wananchi - Hai, Kilimanjaro - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 5 February 2015

demo-image

Matukio: Mhe. Novatus Makunga Awakabidhi Majukumu Viongozi wa Vijiji mbele ya Wananchi - Hai, Kilimanjaro


maasai1
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akiwaonyesha wananchi wa kijiji cha Sanya Stesheni Rejesta ya wakazi kama moja ya vitendea kazi vya wenyeviti wa vitongoji.
maasai2
Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga akimkabidhi rejesta ya wakazi mmoja ya wenyeviti wa kitongoji katika kijiji cha Sanya Stesheni.
maasai5
Mmoja ya wazee wa kabila la Wamaasai akimtawaza Mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga kwa miongoni mwa viongozi wa jamii hiyo maarufu kama Laigwanan kwa kumkabidhi rungu.
maasai7
Mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Sanya Stesheni baada ya kumkabidhi rungu kama ishara ya uongozi.
maasai9
Wananchi wa kijiji cha Sanya Stesheni katika mkutano maalumu wa kijiji chao ulioitishwa na mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga kwa lengo la kuwatambulisha rasmi viongozi wapya wa vitongoji na kijiji na kuwakabidhi majukumu yao mbele ya wananchi.
maasai10
Ofisa mtendaji wa kijiji cha Sanya Stesheni,Edes Mtenga akisoma risala ya wananchi wa kijiji cha Sanya Stesheni kwa mkuu wa wilaya ya Hai,Novatus Makunga.
maasai11
kaimu Ofisa elimu wilayani Hai,Makarios Mapunda akisisitiza kuanza kwa msako mkali wa kudumu wa watoto wote watoro pamoja na wazazi wasiopeleka watoto shule katika kijiji cha Sanya Stesheni.
maasai12
Afisa ustawi wa Jamii wilayani Hai Hegla Joseph akisisitiza sheria ya haki ya mtoto ya 2009 ya kuwapeleka watoto shule katika mkutano wa kijiji cha Sanya Stesheni.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *