Teknolojia Bungeni : Vifaa vyenye thamani ya Dola Laki Moja vya TEHAMA Vyatolewa kwa Ofisi ya Bunge - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 22 January 2015

demo-image

Teknolojia Bungeni : Vifaa vyenye thamani ya Dola Laki Moja vya TEHAMA Vyatolewa kwa Ofisi ya Bunge

8
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akizungumza kutoa neno la shukrani mara baara ya kupokea vifaa hivyo.
9
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akizungumza kutoa neno la shukrani mara baara ya kupokea vifaa hivyo.
10
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge Balozi wa China hapa Nchini Mhe. Dkt. LU Youquing mara baada ya hafla ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA.
11
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkabidhi zawadi ya picha ya Jengo la Bunge Balozi wa China hapa Nchini Mhe. Dkt. LU Youquing mara baada ya hafla ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA.
12
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akipokea zawadi ya kitabu kilichoandikwa na Rais wa China kutoka kwa Balozi wa China hapa Tanzania Mhe. Dkt. LU Youquing mara baada ya hafla ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA.
13
Spika na Balozi wakifurahia jambo baada ya makabidhiano hayo.
14
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda, Balozi wa China hapa Nchini Mhe. Dkt. LU Youquing na viongozi wengine wa Bunge wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya hafla ya kukabidhi vifaa vya TEHAMA Picha na Owen Mwandumbya

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *