Maisha na Elimu :Maulid ya Kumpongeza Bi. Zahra Muhidin Michuzi yafana sana - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


9 Dec 2014

Maisha na Elimu :Maulid ya Kumpongeza Bi. Zahra Muhidin Michuzi yafana sana


Ankal akimpongeza Binti yake Zahra wakati wa hafla ya Maulid ya Kumpongeza baada ya kulamba Nondozz yake ya kwanza ya Biashara na Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dodoma hivi karibuni.Hafla hii imefanyika jana Nyumbani kwa Kaka wa Ankal,Tabata Kimanga jijini Dar es salaam.
 Baba Mkubwa wa Zahra,Ismail Michuzi akiongoza dua ya kuwakumbuka ndugu waliotangulia mbele ya haki kabla ya shereha ya Maulid ya kumpongeza Binti Zahra alielamba Nondozz yake ya Biashara na Uchumi katika Chuo Kikuu cha Dodoma,hivi karibuni.Kulia ni Ankal.
 Zahra akijumuika na Mashangazi zake katika Maulid hiyo

 Vijana wa Madrasa wakitoa burudani kwa Qaswida mwanana kabisa.
 Ankal akisikiliza Jambo kutoka kwa Kaka yake,Macheka.
 Dufu zikipigwa.
 Ankal akiwatunza vijana wa Madrasa.
 Vijana wa Madrasa wakiimba Qaswida kwa ustadi mkubwa.
 Zahra na Mama zake wadogo.
 Msimamo wa Qiyam.
 Shangwe zatawala.
 Binti wa Ankal,Zahra Muhidin Michuzi akiwa kaketi kwenye kiti chake tayari kwa kupongeza kwa kulamba Nondozz yake hiyo.
 Ankal na Dada yake,Bi. Ndonya
 Zahra katika picha ya pamoja na shangazi zake,Mama Zenna na Mama Fatma.
 Michuzi Famili
 Zahra na Marafiki zake.
 Ankal akiwa na Wanae,Ramadhan (pili kushoto),Zahra (kulia),Karim (kushoto) na Sellah (alie na Ankal) wakati wa hafla ya kumpoza Zahra alielamba Nondozz yake ya kwanza katika Chuo Kikuu cha Dodoma hivi karibuni.Hafla hii ilifanyika Tabata kwa Kaka wa Ankal ambaye ni Baba Mkubwa wa kina Zahra.
Zahra akiwa na Wadogo zake Kulwa na Dotto ambao ni watoto wa Kaka Mkubwa wa Ankal.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad