HomeBURUDANIFASHENIMAISHABurudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Burudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Warembo walioshika nafasi za kwanza za Miss Temeke walipofanya hafla ya
kumpongeza Joketi Mwegelo kwa mafanikio ya kupata mkataba mnono wa dola
milion 5 hivi karibuni , baada ya kuingia mkataba kati ya Kidoti na Kampuni ya Rainbow kutoka China. Hafla ya kumpongeza ilifanyika juzi kwenye hoteli
ya Kempiski Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto; Miss Temeke 2004, Cecylia Assey, Happyness Magese '
Millen' (2001), Joketi Mwegelo ( 2006) na Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu.
Nyuma Mshindi wa tatu 2013, Edda Sylvester, mshindi wa pili 2013, Narietha
Boniface na mshindi wa pili 2011, Cynthia Kimasha.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Which Animal Rules the Savanna with Pure Speed?
-
It’s not the lion. It’s not the gazelle it hunts.
It’s a blur of power, purpose, and raw acceleration.
It's the *CHEETAH*.
Witness the fastest land a...
No comments:
Post a Comment