HomeBURUDANIFASHENIMAISHABurudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Burudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Warembo walioshika nafasi za kwanza za Miss Temeke walipofanya hafla ya
kumpongeza Joketi Mwegelo kwa mafanikio ya kupata mkataba mnono wa dola
milion 5 hivi karibuni , baada ya kuingia mkataba kati ya Kidoti na Kampuni ya Rainbow kutoka China. Hafla ya kumpongeza ilifanyika juzi kwenye hoteli
ya Kempiski Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto; Miss Temeke 2004, Cecylia Assey, Happyness Magese '
Millen' (2001), Joketi Mwegelo ( 2006) na Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu.
Nyuma Mshindi wa tatu 2013, Edda Sylvester, mshindi wa pili 2013, Narietha
Boniface na mshindi wa pili 2011, Cynthia Kimasha.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
No comments:
Post a Comment