HomeBURUDANIFASHENIMAISHABurudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Burudani na Biashara : Jokate Mwegelo a.k.a (Jojo, Kidoti) Apongezwa na Warembo wa Miss Temeke kwa kupata mkataba mnono wa Dola Milioni 5
Warembo walioshika nafasi za kwanza za Miss Temeke walipofanya hafla ya
kumpongeza Joketi Mwegelo kwa mafanikio ya kupata mkataba mnono wa dola
milion 5 hivi karibuni , baada ya kuingia mkataba kati ya Kidoti na Kampuni ya Rainbow kutoka China. Hafla ya kumpongeza ilifanyika juzi kwenye hoteli
ya Kempiski Kilimanjaro hotel jijini Dar es salaam. Kutoka kushoto; Miss Temeke 2004, Cecylia Assey, Happyness Magese '
Millen' (2001), Joketi Mwegelo ( 2006) na Miss Temeke 2014, Sitti Mtemvu.
Nyuma Mshindi wa tatu 2013, Edda Sylvester, mshindi wa pili 2013, Narietha
Boniface na mshindi wa pili 2011, Cynthia Kimasha.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
TIDO: VYOMBO VYA HABARI VIJENGE FIKRA ZA JAMII
-
*Na Mwandishi Wetu. *
*Mwenyekiti wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Bw. Tido
Mhando, amewataka Waandishi wa Habari nchini kutafak...
REA YAANDIKA HISTORIA LUDEWA
-
*Nkanda - Ludewa*
*Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijni (REA), unaendelea kutekeleza
miradi mbalimbali pamoja na kuwasimamia kwa karibu wakand...
The Ultimate Luxury Tarangire Safari
-
There is a specific moment in Tarangire when the rest of the world
completely fades away.
It usually happens just as the afternoon heat breaks....
Michezo : Zawadi Ligi ya Muungano Kuboreshwa
-
Na; Mwandishi Wetu, Unguja
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf
Masauni amesema msimu ujao wa Ligi ya Muungano utaboresh...
No comments:
Post a Comment