MATUKIO :BALOZI KAMALA SANTANA NA MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA DELANOUT YA UBELGIJI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 4 September 2014

demo-image

MATUKIO :BALOZI KAMALA SANTANA NA MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA DELANOUT YA UBELGIJI


unnamed%252B(3)
Balozi wa Tanzania Ubelgiji Dr. Diodorus Buberwa Kamala (mwenye miwani) akimkabidhi zawadi ya mwamvuli unaotangaza vivutio vya Utalii Tanzania Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya DELANOUT ya Ubelgiji Bwana. Jackson Delanout. Balozi Kamala yuko kwenye ziara ya kuhamasisha makampuni ya Ubelgiji kushiriki kwenye ziara ya biashara ya makampuni ya Ubelgiji itakayofanyika Tanzania, Novemba mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *