Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Bibi yake Rais wa Marekani,Mh. Barack
Obama,Mama Sarah Obama walipokutana kwenye hoteli ya Villa Rosa
Kempiski jijini Nairobi, Kenya, wakati Rais Kikwete akijiandaa kurejea
nchini.Mama Sarah Obama anatarajia kuzindua taasisi ya kusaidia elimu
kijijini Kogelo nchini Kenya,alikozaliwa Baba yake na Rais Obama wa
Marekani itakayofahamika kama (Sarah Obama foundation) ambapo atajenga
shule kuanzia za awali mpaka sekondari. Rais kikwete sasa hivi yuko
mjini Kondoa kuendelea na ziara yake ya Mkoa wa Dodoma.PICHA NA IKULU
BETI NA MERIDIANBET MECHI ZA LEO
-
IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia leo ndio
siku ya kupiga pesa kirahisi sana kwani huku kuna kila kitu kuanzia ODDS
KUB...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment