JESHI LA POLISI :IGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 12 September 2014

demo-image

JESHI LA POLISI :IGP MANGU AFUNGUA JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO MKOA WA KILIMANJARO


IMG_0820
Jengo la Dawati na Jinsia na Watoto lilojengwa katika kituo kikuu cha Polisi mjini Moshi.
IMG_0835
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini,Inspekta Jenerali wa Polisi ,Ernest Mangu akizungumza wakati wa uzinduzi wa jengo la dawati la Jinsia katka kituo kikuu cha Polisi mjini Moshi.
IMG_0813
Kaimu kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro,Koka Moita akizungumza kabla ya kumkaribisha ,IGP ,Mangu kuzindua dawati la jinsia.
IMG_0812
Mkuu wa Dawati la Jinsia mkoa wa Kilimanjaro,Grace Lyimo akisoma taarifa ya ujenzi wa jengo hilo.
IMG_0814
IMG_0815
IGP,Mangu akikata utepe kuashiria kuzinduliwa kwa dawati la jinsia katika kituo kikuu cha Polisi Moshi.
IMG_0817
IGP ,Mangu akizindua jengo hilo kwa kufungua kitambaa akuonesha kibao chenye kumbukumbu ya ufunguzi wa jengo hilo. Na Dixon Busagaga

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *