Shughuli za uokozi zikiendelea muda mfupi uliopita.
Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea
Tabora limepinduka katika maeneo ya maeneo ya Kiegeya Gairo. Haijulikani
idadi kamili ya watu waliopoteza maisha lakini ni wengi na wengine
wamejeruhiwa vibaya sana.
“Picha hazifai kuona na mimi niko eneo la tukio kwa ajili ya uokozi.
Viongozi mbali mbali wa serikali tunao hapa..kwakweli ni majonzi vilio nk,”
ameandika shuhudu mmoja.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Which Animal Rules the Savanna with Pure Speed?
-
It’s not the lion. It’s not the gazelle it hunts.
It’s a blur of power, purpose, and raw acceleration.
It's the *CHEETAH*.
Witness the fastest land...
No comments:
Post a Comment