Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa
Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma,
Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo
ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao
vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014.
Mbunge wa Sikonge mkoani Tabora kupitia CCM, ambaye pia ni Mujumbe wa Bunge
Maalum la Katiba, Said Nkumba, alikwenda kumjulia hali Rage, hospitalini mjini
Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014.Picha kwa hisani ya K-vis Blog
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
TCAA Yatoa Msaada kwa Kituo cha Tupendane Dodoma
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), kama sehemu ya kurudisha kwa
jamii, imetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto cha Tupendane
kilichopo ji...
No comments:
Post a Comment