Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimsikiliza
Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke alipokuwa akimfafanulia jambo
wakati Balozi huyo na Naibu wake walipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya
ushirikiano kati ya Ujerumani na Tanzania.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
NMB YAHIMIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KUKUZA BIASHARA
-
Benki ya NMB imewataka wafanyabiashara wa Mwanza, Mara na Geita kutumia
malipo ya kidijitali na akaunti mahsusi za biashara ili kufikia masoko
mapya na kus...
Rais Samia ashuhudia Uapisho wa Makamu wa Rais
-
*Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan, ameshuhudia uapisho wa Mheshimiwa Deogratius John Ndejembi kuwa
Makamu w...
NBC Yatoa Mikopo ya Makazi kwa Wakulima 57
-
- Yaendelea kukabidhi Malori kwa Vyama vya Ushirika
Kufuatia hatua ya Serikali kukabidhi Shilingi bilioni 300 kwa taasisi saba
za kifedha, ikiwemo Benki...
No comments:
Post a Comment