Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimsikiliza
Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke alipokuwa akimfafanulia jambo
wakati Balozi huyo na Naibu wake walipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya
ushirikiano kati ya Ujerumani na Tanzania.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
No comments:
Post a Comment