Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mathias Chikawe (kushoto) akimsikiliza
Balozi wa Ujerumani nchini, Egon Kochanke alipokuwa akimfafanulia jambo
wakati Balozi huyo na Naibu wake walipomtembelea Waziri huyo ofisini kwake
jijini Dar es Salaam leo, kwa ajili ya kujadili masuala mbalimbali ya
ushirikiano kati ya Ujerumani na Tanzania.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
DED MBEYA DC AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA AJIRA 259
-
*Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya, Bi. Erica E. Yegella
amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu
Hassan, kwa kut...
Africa, Redefined: Mobila Safaris at Indaba 2026
-
The wait is over. Africa’s most iconic landscapes are calling, and we’re
here to hand you the keys.
*Mobila Safaris is officially live at Stand DEC...
TCAA Yatoa Msaada kwa Kituo cha Tupendane Dodoma
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania(TCAA), kama sehemu ya kurudisha kwa
jamii, imetoa msaada katika kituo cha kulelea watoto cha Tupendane
kilichopo ji...
No comments:
Post a Comment