Anuary Mkama kutoka Radio Mlimani nchini Tanzania na mwenzake Amida Issa
kutoka Burundi waagwa rasmi DW mjini Bonn baada ya kumaliza mafunzo
utangazaji kwa vitendo yaliyodumu katika kipindi cha miezi sita. Wote
wawili sasa wanajiandaa kurejea katika mataifa yao kwenda kutuma ujuzi
waliouvuna kutoka DW Bonn.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
No comments:
Post a Comment