Anuary Mkama kutoka Radio Mlimani nchini Tanzania na mwenzake Amida Issa
kutoka Burundi waagwa rasmi DW mjini Bonn baada ya kumaliza mafunzo
utangazaji kwa vitendo yaliyodumu katika kipindi cha miezi sita. Wote
wawili sasa wanajiandaa kurejea katika mataifa yao kwenda kutuma ujuzi
waliouvuna kutoka DW Bonn.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
JAS yafanya kikao cha kufunga Mwaka 2025
-
Na Mwandishi Wetu Morogoro 27 Disemba, 2025.
Jumuiya ya Wanafunzi ya Jiba Active Students (JAS) imefanya kikao maalum
cha kufunga shughuli za Mwaka 2025...
Michezo : Mwakinyo Amchapa Mnigeria kwa KO
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
BONDIA wa Kimataifa Mtanzania, Hassan Mwakinyo amefanikiwa kuibuka mshindi
wa pambano lake dhidi ya mpinzani wake Mniger...
No comments:
Post a Comment