UTANGAZAJI : DW YAWAAGA WATANGAZAJI ANUARY MKAMA NA AMIDA ISSA, BONN - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 16 July 2014

demo-image

UTANGAZAJI : DW YAWAAGA WATANGAZAJI ANUARY MKAMA NA AMIDA ISSA, BONN


unnamed+(2)
Anuary Mkama kutoka Radio Mlimani nchini Tanzania na mwenzake Amida Issa kutoka Burundi waagwa rasmi DW mjini Bonn baada ya kumaliza mafunzo utangazaji kwa vitendo yaliyodumu katika kipindi cha miezi sita. Wote wawili sasa wanajiandaa kurejea katika mataifa yao kwenda kutuma ujuzi waliouvuna kutoka DW Bonn.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *