| "Mmetuona "ni kama ndio maneno yaliyokuwa vichwani mwao maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakionesa vyeti vyao vya ndoa. |
| Gavana wa kwanza wa Tanzania Mzee Edwin Mtei na Mama Mtei pia walikuwa katika inada hiyo. |
| Wazazi wa Maharusi ,Joshua Nassari na Bi Anande Nnko. |
| Bw na Bi Joshua Nassari na wakiweka Sadaka zao katika kapu la sadaka. |
| Maharusi ,wakapata nafasi ya kusalimiana na Mzee Edwin Mtei. |
| Ibada ya ndoa ikawa imefika tamati na maharusi wakatoka kanisani tayari kwa msafara wa magari kuelekea uwanjani. |
| Mbunge
Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa mbele ya zawadi yao ya Ng'ombe ilitolewa na waumini wa Kanisa la Kilinga ambako ibada ya ndoa ilifanyika,kanisa linaloongozwa na Mchungaji Babu. |
| Mbunge
Joshua Nassari na Anande Nnko wakiteta jambo . |
| Baba Mzazi wa Joshua Nassari,Mzee Samwel Nassari akimpongeza mwanae kwa hata hiyo. |
| Mamsapu akianza majukumu ya kuhakikisha Mzee anakuwa nadhifu kila wakati. |
| Maharusi wakaaga katika viwanja vya Kanisa la Kilenga . |
| Bi Harusi Anande Nnko akiwa katika gari tayari kuelekea katika viwanja vya Usa-River Academy. |
| Msafara ukaanza safari ya kuelekea barabara kuu ya Moshi/Arusha ukitokea kanisani Kilinga. |
| Baadae maharusi wakabadili gari ili waweze kuonekana vyema na wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki. |
| Maharusi wakiwa katika gari la wazi huku wakipunga mikono kwa watu waliokuwa barabarani. |
| Maharusi waki "Show Love" |
| Kila sehemu msafara wa magari ya maharusi ulipopita ,wakazi wa maeneo hayo walionesha furaha zao . |
| Barabarani kulijaa watu wakimshangilia Mbune wao akijinyakulia Jiko. |
| Kama kawaida Jasiri haachi asili na muacha asili ni hasidi na hana akili. |
| Msafara wa magari ulikuwa ni mrefu . |
No comments:
Post a Comment