MBUNGE AUAGA UKAPERA: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA BI. ANNA NNKO, USA RIVER JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 8 June 2014

demo-image

MBUNGE AUAGA UKAPERA: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI MHE. JOSHUA AFUNGA PINGU ZA MAISHA NA BI. ANNA NNKO, USA RIVER JIJINI ARUSHA

IMG_7355
"Mmetuona "ni kama ndio maneno yaliyokuwa vichwani mwao maharusi ,Joshua Nassari na Anande Nnko wakionesa vyeti vyao vya ndoa.
IMG_7359
Gavana wa kwanza wa Tanzania Mzee Edwin Mtei na Mama Mtei pia walikuwa katika inada hiyo.
IMG_7369
Wazazi wa Maharusi ,Joshua Nassari na Bi Anande Nnko.
IMG_7374
Bw na Bi Joshua Nassari na wakiweka Sadaka zao katika kapu la sadaka.
IMG_7379
Maharusi ,wakapata nafasi ya kusalimiana na Mzee Edwin Mtei.
IMG_7441
IMG_7450
Ibada ya ndoa ikawa imefika tamati na maharusi wakatoka kanisani tayari kwa msafara wa magari kuelekea uwanjani.
IMG_7486
Mbunge Joshua Nassari na Anande Nnko wakiwa mbele ya zawadi yao ya
Ng'ombe ilitolewa na waumini wa Kanisa la Kilinga ambako ibada ya ndoa
ilifanyika,kanisa linaloongozwa na Mchungaji Babu.

IMG_7501
Mbunge Joshua Nassari na Anande Nnko wakiteta jambo .

IMG_7504
Baba Mzazi wa Joshua Nassari,Mzee Samwel Nassari akimpongeza mwanae kwa hata hiyo.
IMG_7508
Mamsapu akianza majukumu ya kuhakikisha Mzee anakuwa nadhifu kila wakati.
IMG_7510
Maharusi wakaaga katika viwanja vya Kanisa la Kilenga .
IMG_7516
Bi Harusi Anande Nnko akiwa katika gari tayari kuelekea katika viwanja vya Usa-River Academy.
IMG_7523
Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki ,Joshua Nassari na ,Anande Nnko
wakiwa ndani ya gari muda mfupi baada ya kufunga ndoa katika kanisa la
Kilinga wilayani Arumeru tayari kwa kuelekea viwanja vya  Usa-River
Academy.

IMG_7529
IMG_7545
Msafara ukaanza safari ya kuelekea barabara kuu ya Moshi/Arusha ukitokea kanisani Kilinga.
IMG_7550
Baadae maharusi wakabadili gari ili waweze kuonekana vyema na wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki.
IMG_7577
IMG_7588
IMG_7591
IMG_7601
Maharusi wakiwa katika gari la wazi huku wakipunga mikono kwa watu waliokuwa barabarani.
IMG_7604
Maharusi waki "Show Love"
IMG_7607
IMG_7613
Kila sehemu msafara wa magari ya maharusi ulipopita ,wakazi wa maeneo hayo walionesha furaha zao .
IMG_7615
Barabarani kulijaa watu wakimshangilia Mbune wao akijinyakulia Jiko.
IMG_7622
Kama kawaida Jasiri haachi asili na muacha asili ni hasidi na hana akili.
IMG_7629
Msafara wa magari ulikuwa ni mrefu .

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *