MAJI NI UHAI : KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Sunday 8 June 2014

MAJI NI UHAI : KONGAMANO LA MAJI LAFANYIKA JIJINI DAR ES SALAAM

Mwekezaji Mzawa wa Kiwanda cha Pipe Industries Bwana Nassor Seif (kushoto) akimsikiliza Waziri wa Maji Professor Jumanne Maghembe akimweleza jambo kuhusiana na mabomba yanayozalishwa na pipe industries wakati akikagua maonyesho ya kiwanda hicho katika kongamano la maji lilofanyika mjini dar es salaam.
Waziri Mageembe akizungumza na waandishi wa habari baaada ya kufungua kongamano la maji.
Waziri wa Maji Professor Jumanne Maghembe (wa pili kutoka kushosto) akifurahia jambo na wamiliki wa pipe industries bwana nassor seif (kushoto) na seif seif (wa pili kulia) wakiwa na baadhi ya washiriki wa kongamano la maji. kulia ni bibi esther baruti kroll mwakilishi mkazi wa kampuni ya saruji ya dangote industries.
wataalam vijana wa tanzania ni miongoni mwa washiriki na wawezeshaji wa kongamano la maji. kushoto ni moses nkanda bingwa katika mambo ya mabomba ya gesi na mtaalam mshauri bwana subiro mwapinga.
Mtoa Mada katika Kongamano la Teknolojia ya Maji kutoka Kampuni ya Borouge,Bwana Mario Andrade akitoa maelezo kwa washiriki wa kongamano la maji juu ya borouge na uwezo wake katikasekta ya mabomba.
washiriki wakifuatilia kongamano.
Mkurugenzi wa Superdoll,Bwana Jamal Bayser (kulia) na Mkurugenzi wa Reni International,Bwana Dipak Vassa.
Meneja wa Mradi wa Kiwanda cha Mabomba cha Pipe Industries,Bwana Sebastian Kyoni (kulia) akiwa na wataalam wenzake wakishiriki katika kongamano la maji jijini dar es salaam.
waziri wa maji Professor Jumanne Maghembe akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya washiriki wa kongamano la maji.

No comments:

Post a Comment