AKUTWA AMEKUFA : MTU MMOJA AKUTWA AMEKUFA JR KERAI JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Thursday 5 June 2014

AKUTWA AMEKUFA : MTU MMOJA AKUTWA AMEKUFA JR KERAI JIJINI ARUSHA

 Mwili wa mtu aliekutwa amekufa eneo la JR Kerai ,jijini Arusha.
  Polisi waliofika katika eneo la tukio wakikagua mwili wa mtu aliekutwa amekufa

Mtu mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana kwa haraka ,amekutwa amekufa katika eneo la JR Kerai asubuhi ya leo hapa Arusha, kwa mujibu wa shuhuda mmoja alidai kuwa mtu huyo ni mkazi wa Kwa Moromboo.

Kwa Mujibu wa polisi waliofika katika eneo la tukio wamedai kuwa mtu huyo inawezekana amepigwa kisha kuja kutupwa katika eneo hilo. chanzo cha mauaji hayo bado tunafuatilia

No comments:

Post a Comment