VYEO KWA MAAFISA :DKT. SHEIN AONGOZA UFUNGAJI WA MAFUNZO YA MAAFISA KMKM - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Wednesday, 14 May 2014

demo-image

VYEO KWA MAAFISA :DKT. SHEIN AONGOZA UFUNGAJI WA MAFUNZO YA MAAFISA KMKM


.com/blogger_img_proxy/ 
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mkuu KMKM alipowasili katika kambi ya KMKM Kama katika ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7),(katikati) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ Haji Omar Kheri. .com/blogger_img_proxy/ Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akipokea salamu ya hesha ya gwaride la Maafisa wakati ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama  Wilaya ya Magharibi Unguja. .com/blogger_img_proxy/Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein akikagua gwaride la Maalum wakati wa ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama  Wilaya ya Magharibi Unguja..com/blogger_img_proxy/Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein alipokuwa akiwatunuku  Kamisheni Maafisa Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya awali katika kambi ya KmKm kama leo,alipoyafunga mafunzo hayo katika mkupuo wa saba (7) wilaya ya Magharibi Unguja..com/blogger_img_proxy/Makamanda wa KmKm waliohudhuria katika sherehe za ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama  Wilaya ya Magharibi Unguja.
.com/blogger_img_proxy/Baadhi ya wananchi walioalikwa katika hafla ya sherehe za ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama  Wilaya ya Magharibi Unguja.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *