Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Mkuu KMKM alipowasili katika kambi ya KMKM Kama katika
ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7),(katikati) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Idara
Maalum za SMZ Haji Omar Kheri.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akipokea salamu ya hesha ya gwaride la Maafisa wakati ufungaji wa Mafunzo Maalum ya Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
akikagua gwaride la Maalum wakati wa ufungaji wa Mafunzo Maalum ya
Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama
Wilaya ya Magharibi Unguja.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Ali Mohamed Shein
alipokuwa akiwatunuku Kamisheni Maafisa Wanafunzi waliohitimu mafunzo
ya awali katika kambi ya KmKm kama leo,alipoyafunga mafunzo hayo katika
mkupuo wa saba (7) wilaya ya Magharibi Unguja.
Makamanda
wa KmKm waliohudhuria katika sherehe za ufungaji wa Mafunzo Maalum ya
Maafisa (Special Duty) mkupuo wa saba(7) katika kambi ya KMKM Kama
Wilaya ya Magharibi Unguja.
Maonesho ya Mvinyo wa Afrika Kusini Yaangazia Ukuaji wa Sekta ya Utalii
Tanzania
-
DAR ES SALAAM
WADAU wa sekta ya ukarimu na utalii wameeleza umuhimu unaoongezeka wa
vyakula, mvinyo na uzoefu wa kiutamaduni katika kuimarisha nafasi y...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment