Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili
na crew yake nzima kuja kumpa pole Mbonie Masimba, AY alitoa laki 6
kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango wake kwa
kuthamini kile alichomfania wakati akiwa hai. Sasa msafara unaelekea
Bongo na mwili utafikia Hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni na
naambiwa msiba uko upo Bahari Beach nyumbani kwa marehemu.
SAFARI YA KUZAA NA KUHAMA KWA NYUMBU YATUA FITUR HISPANIA
-
Na Mwandishi wetu.
Wizara ya Maliasili na Utalii kupitia taasisi zake inaendelea kunadi
vivutio vya utalii vilivyopo Tanzania katika maonesho ya FITUR
y...
41 minutes ago
No comments:
Post a Comment