Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili
na crew yake nzima kuja kumpa pole Mbonie Masimba, AY alitoa laki 6
kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango wake kwa
kuthamini kile alichomfania wakati akiwa hai. Sasa msafara unaelekea
Bongo na mwili utafikia Hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni na
naambiwa msiba uko upo Bahari Beach nyumbani kwa marehemu.
Wazazi,Walezi Wasisitizwa Kuacha Kutoa Lugha Zisizofaa kwa Watoto
-
Na Mwandishi Wetu
WAZAZI na walezi nchini wamesisitizwa kuacha tabia ya kuwatolea lugha
zisizofaa watoto wao wanaofeli masomo na kuwaonesha kuwa hawawez...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment