Msanii wa Bongo Fleva AY akiwa amewasili
na crew yake nzima kuja kumpa pole Mbonie Masimba, AY alitoa laki 6
kununua jeneza la marehemu Tyson hii ikiwa kama mchango wake kwa
kuthamini kile alichomfania wakati akiwa hai. Sasa msafara unaelekea
Bongo na mwili utafikia Hospital ya Kairuki iliyopo Mikocheni na
naambiwa msiba uko upo Bahari Beach nyumbani kwa marehemu.
TANZANIA AND U.S. MOVE TO FINALISE MAJOR INVESTMENT AGREEMENTS
-
Her Excellency Dr. Samia Suluhu Hassan, President of the United Republic of
Tanzania, today held talks with the Acting United States Ambassador to
Tanza...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment