Umati mkubwa wa watu ambao ulifiika kushuhudia ajali hiyo mbaya |
Maafisa wa Chama cha Msalaba Mwekundu mkoa wa Tabora walifika eneo la tukio na kusaidia majeruhi wa ajali hiyo. |
Wananchi wakishuhudia mwili wa mtoto aliyegongwa na basi hilo ambapo walishauri Serikali iliifungie kampuni hiyo ya A.M Coach kuleta mabasi mkoani Tabora ambayo walidai kuwa ni mabovu na yanausalama mdogo kwa wasafiri. |
Huu ndio uskani wa basi hilo ni mbovu kupindukia na si salama kwa kutumika kwenye magari ya usafirishaji wa binadamu |
No comments:
Post a Comment