WANAWAKE WAJITAMBUE : MAMA REGINA LOWASSA AWATAKA WANAWAKE KUJITAMBUA NA KUJIKUBALI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 9 March 2014

demo-image

WANAWAKE WAJITAMBUE : MAMA REGINA LOWASSA AWATAKA WANAWAKE KUJITAMBUA NA KUJIKUBALI

.com/blogger_img_proxy/Mgeni rasmi katika sherehe ya wanawake duniani  iliyondaliwa na Phenomenal Women Group, Mama Regina Lowassa akikata keki kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi hicho halfa iliyofanyika jana Machi 8/2014 katika ukumbi wa World Garden Moshono jijini Arusha ambapo kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 ilishiriki kudhamini siku hiyo ya wanawake duniani.
.com/blogger_img_proxy/Mgeni rasmi Mama Regina Lowassa akifungua chupa ya wine,kushoto kwakwe ni mwenyekiti wa kikundi hicho Bi.Youthness Godfrey
.com/blogger_img_proxy/Mgeni Rasmi katika halfa ya siku ya wanawake dunia Mama Regina Lowassa akisoma hotuba huku akisisitiza wanawake kujitambua pamoja na kujikubali hali itakayosaidia wao kushiriki katika maendeleo na kuchangia pato la Taifa
.com/blogger_img_proxy/Mwanamuziki maarufu Snura akiwaburudisha wanawake katika halfa hiyo iliyoandaliwa na kikundi cha Phenomenal Group
.com/blogger_img_proxy/Wacheza show wa Snura wakitoa burudani
.com/blogger_img_proxy/Wageni waalikwa wakiangalia burudani kutoka kwa mwanamuziki Snura
.com/blogger_img_proxy/
.com/blogger_img_proxy/Aliyevalia sare za jeshi ni Ispekta Mariam
.com/blogger_img_proxy/Wakinamama wakionekana na nyuso za furaha katika halfa ya siku ya wanawake duniani
.com/blogger_img_proxy/Kushoto ni Dk.Msuya ambaye ni Daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake katika hospitali ya St.Thomath jijini Arusha
.com/blogger_img_proxy/Mwenyekiti wa kikundi cha Phenomenal Women Group Youthness Godfrey akisoma risala kwa mgeni rasmi
.com/blogger_img_proxy/Mama Regina Lowassa akiwa katika zoezi la kuwamiminia akina mama wine mara baada ya kugungua kuashiria ufunguzi rasmi wa kikundi cha Phenomenal Women Group
.com/blogger_img_proxy/Kushoto Sarah Keiya Meneja masoko wa kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha akiwa katika picha ya pamoja na Pamela Sioi
.com/blogger_img_proxy/Muonekano wa baadhi ya wanakikundi  wa Phenomenal Women Group
.com/blogger_img_proxy/Sarah Keiya Meneja masoko wa kampuni Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Radio 5 Arusha akiwa katika picha ya pamoja na Mwenyekiti wa kikundi hicho Youthness Godfrey
.com/blogger_img_proxy/Wadau wakishow love na Pamela Sioi,mtoto wa Mama Regina Lowassa
.com/blogger_img_proxy/Hapa wadau wakiwa katika pozi na mgeni rasmi Mama Regina Lowassa
.com/blogger_img_proxy/kushoto ni Mmiliki wa jamiiblog akishow love na wadau

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *