MWILI WA MKUU WA MKOA WA MARA: MAELFU WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPPA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 27 March 2014

demo-image

MWILI WA MKUU WA MKOA WA MARA: MAELFU WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPPA



IMG_4640
 MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA KWENYE NDANI YA MAKAZI YAKE
IMG_4642

IMG_4643

IMG_4647
 WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA
IMG_4648

IMG_4649

IMG_4651
 KUTOKA KUSHOTO KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA MARA POUL KASABAGO,M NEC WA CCM CHRISTOPHER GACHUMA,M NEC WA BUNDA CCM...
IMG_4656
 KUTOKA KUSHOTO MWAKILISHI WA CHANEL TEN AUGUSTINE MGENDI,GEORGE MARATU WA ITV NA FLORENCE FOCAS WA MWANANCHI
IMG_4660
 MWENYEKITI WA BAKWATA MUSOMA MJINI AKIWA NA ASKOFU MSONGANZILA WA KANISA KATORIKI
IMG_4664
 RAIS WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KENETH SIMBEYA AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
IMG_4666
 MTOTO WA MAREHEMU AITWAYE GABRIEL JOHN TUPA AKITOA SHUKURANI
IMG_4677
 MJANE WA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALIKUWA MMOJA WA WAOMBOLEZAJI
IMG_4681
 ASKOFU MSONGANZILA AKIWEKA SAHIHI KWENYE KITABU CHA WAOMBOLEZAJI
IMG_4688
 AKIAGA MWILI
IMG_4691
 MMOJA WA WAANDISHI WA HABARI NGULI BIGAMBO JEJE AKIAGA MWILI
IMG_4692
 SEHEMU YA WAOMBOLEZAJI WAKIENDA KUAGA MWILI
IMG_4698

IMG_4699
 MKURUGENZI WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA ABUBAKAR KARSAN MWENYE MIWANI HUKU NYUMA YAKE NI MADARAKA NYERERE NAO WAKIAGA MWILI
IMG_4703

IMG_4709
 MGENDI WA CHANEL TEN AKIWAJIBIKA KUWAPA WATANZANIA TAARIFA
IMG_4714
 WANAFUNZI WA SHULE PIA WALIHUDHULIA
IMG_4718
 NAMI NILIMUAGA MKUU WA MKOA JOHN TUPA,KWA KWELI NI PIGO
IMG_4734
 ASKARI KARIM AKIWA KWENYE GARI LILILOBEBA MWILI WA MAREHEMU
IMG_4741
 MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA LIKIWA KWENYE GARI MAALUMU UKITOKA KWENYE MAKAZI YAKE KWENDA KANISANI
IMG_4748
 MWILI UMEPOKELEWA LANGO KUU LA KANISA KATORIKI
IMG_4761
 MKE WA JOHN TUPA WA PILI KUTOKA KUSHOTO AKIWA NA WANAFAMILIA KANISANI
IMG_4764
MAELFU ya wananchi wa mkoa wa Mara pamoja na mikoa jirani wakiongozwa na viongozi wa Serikali,Dini na vyama vya Siasa wameuaga mwili wa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara John Gabriel Tupa aliyefariki juzi asubuhi akiwa wilayaniTarime kwa shughuli za kikazi.


Akitoa salamu za rambirambi za Serikali mkoani Mara,Kaimu Katibu Tawala wa mkoa wa Mara Bartazal Kichinda alisema walipokea kwa masikitiko makubwa msiba wa ghafla wa mkuu wa mkoa wa Mara John Gabriel Tupa  kwa kuwa msiba huo umekuja wakati mchango  na usaidizi wa kiongozi huyo ukiwa unahitajika zaidi mkoani Mara.
PICHA NA HABARI KWA HISANI YA SHOMARI BINDA

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *