Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema.
(Picha kwa hisani ya AICC)
Kitaifa : Mfumo Mpya kuwezesha Watanzania kupata fursa za Ajira nje ya nchi
- Waziri Kikwete
-
Na Mwandishi Wetu; Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye
Ulemavu, Mhe. Ridhiwani Kikwete, amesema katika mwaka ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment