Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema.
(Picha kwa hisani ya AICC)
The Essential Role of Open Data in Upholding Press Freedom & Assessing the
Value of the U.S.-Tanzania Partnership
-
U.S. Embassy Dar es Salaam
TANZANIA
By U.S. Ambassador to the United Republic
of Tanzania Michael A. Battle Sr.
May 2, 2024 - Since 1993, thank...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment