Mkurugenzi
Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia
Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao
walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine
pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto),
mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa
Hospitali hiyo. Mama huyo alijifungua kwa njia ya
oparesheni wakiwa na afya njema.
(Picha kwa hisani ya AICC)
TUME YA MADINI YAZIDI KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI
-
*Na Mwandishi wetu, Dodoma*
*Tume ya Madini imeendelea kunadi fursa mbalimbali za uwekezaji katika
sekta ya madini kupitia ushiriki wake kwenye Maadhi...
50 minutes ago
No comments:
Post a Comment