TEKNOLOJIA NDANI YA AFYA : KCMC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA UPASUAJI KUTUMIA DARAUBINI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 19 February 2014

demo-image

TEKNOLOJIA NDANI YA AFYA : KCMC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA UPASUAJI KUTUMIA DARAUBINI


P1250894
Teknolojia mpya ya upasuaji kwa njia ya Darubini katika Hospitali ya KCMC, Teknolojia hiyo inadaiwa kuokoa muda na gharama za upasuaji pamoja na kupunguza vifo.
P1250851
Madaktari KCMC wakimfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia Teknolojia mpya Darubini.
P1250854
Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.



P1250870
Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.



P1250976
Timu ya waandishi wa habari "madaktari feki", kutoka kushoto, Fadhili Athumani (Mtanzania), Safina Sarwatt (Mtanzania), Flora Temba (Majira), Gabriel Chissou ambaye ni Msemaji wa KCMC, Sauda Shimbo (TBC) na Bahati Mustapha (Moshi Fm) baada ya kumaliza kazi katika Theatre. Kwa picha Zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *