TEKNOLOJIA NDANI YA AFYA : KCMC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA UPASUAJI KUTUMIA DARAUBINI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

19 Feb 2014

TEKNOLOJIA NDANI YA AFYA : KCMC YAZINDUA HUDUMA MPYA YA UPASUAJI KUTUMIA DARAUBINI


Teknolojia mpya ya upasuaji kwa njia ya Darubini katika Hospitali ya KCMC, Teknolojia hiyo inadaiwa kuokoa muda na gharama za upasuaji pamoja na kupunguza vifo.
Madaktari KCMC wakimfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia Teknolojia mpya Darubini.
Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.



Dkt. Kondo Chilonga akiongoza madaktari wenzake kumfanyia mgonjwa upasuaji kwa kutumia teknolojia mpya ya Darubini ambayo inaruhusu upasuaji kufanyika bila ya kuchana ngozi.



Timu ya waandishi wa habari "madaktari feki", kutoka kushoto, Fadhili Athumani (Mtanzania), Safina Sarwatt (Mtanzania), Flora Temba (Majira), Gabriel Chissou ambaye ni Msemaji wa KCMC, Sauda Shimbo (TBC) na Bahati Mustapha (Moshi Fm) baada ya kumaliza kazi katika Theatre. Kwa picha Zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633