KILIMO KWANZA : KAMPUNI YA ANSAF YAFANYA UZINDUZI MWAKA WA KILIMOAFRIKA, MJINI IRINGA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 20 February 2014

demo-image

KILIMO KWANZA : KAMPUNI YA ANSAF YAFANYA UZINDUZI MWAKA WA KILIMOAFRIKA, MJINI IRINGA

IMG_2119 Mkurugenzi mtendaji  wa jukwaa la  wadau wa  kilimo ANSAF Bw . Audax Rukonge  akizungumza na wanahabari  leo ukumbi  wa RAS Iringa.

IMG_2123
Wanahabari  Iringa  wakifuatilia  mkutano  huo kulia ni msanii Mrisho Mpoto
IMG_2125
Wadau  wa Kilimo  wakiwa katika mkutano  huo  leo IMG_2127
Msanii Mrisho  Mpoto  kulia  akiwa na  wasanii Masoud  Kipanya kushoto na Profesa  Jay leo  katika  ukumbi  wa  mkuu  wa  mkoa  wa  Iringa, wasanii hawa ni mabalozi wa   uhamasishaji  wa kilimo kwa  vijana na wanawake  nchini  Tanzania. Picha zaidi bofya hapa>>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *