ACHA KUUA TEMBO NA FARU : DKT. JAKAYA KIKWETE AKIZINDUA KAMPENI YA KUPIGA VITA UUAJI WA TEMBO NA FARU KUPITIA MABANGO. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


13 Feb 2014

ACHA KUUA TEMBO NA FARU : DKT. JAKAYA KIKWETE AKIZINDUA KAMPENI YA KUPIGA VITA UUAJI WA TEMBO NA FARU KUPITIA MABANGO.

 Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibofya kwenye kompyuta kuzindua rasmi  mabango hayo ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru  kwenye  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.. Kulia kwake ni Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Mahamoud  Mgimwa.
 Rais Jakaya Kikwete akizungumza wakati wa uzinduzi wa mabango ya kuhamasisha wananchi kupiga vita mauaji ya Tembo na Faru baada ya kuyazindua rasmi kwenye  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam juzi.
 Moja ya mabango hayo likiwa nje ya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.

 Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Mahamoud Mgimwa (wa pili kushoto), akiwa na Ofisa Mteendaji Mkuu wa Kampuni ya Jambo Concepts Tanzania Limited (JCTL), Juma Pinto (wa pili kulia) pamoja na Mkurugenzi wa JCTL, Juma Mabakila walipokuwa wakimsubiri Rais Jakaya Kikwete kuzinduz mabango hayo.
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, alipowasili katika hafla ya uzinduzi wa mabango hayo yatakayosambazwa sehemu mbalimbali nchini.
 Sehemu ya umati ulioshiriki katika hafla hiyo ya uzinduzi wa mabango
 
 Mmiliki wa Blog ya Wananchi, William Malecela akijadiliana jambo na Juma Pinto
 
JK akiwa katika hafla hiyo.
PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad