CLASS MATE'S SEND-OFF PARTY: MARY MEELA AMEREMETA KATIKA SHEREHE YA KUMUAGA ILIYOFANYIKA UHURU PEAKS GROUNDS ,JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 13 February 2014

demo-image

CLASS MATE'S SEND-OFF PARTY: MARY MEELA AMEREMETA KATIKA SHEREHE YA KUMUAGA ILIYOFANYIKA UHURU PEAKS GROUNDS ,JIJINI ARUSHA

A
Bi. Mary Meela (kushoto) akiwa na uso mpana wa furaha katika sherehe ya kumuaga (Send off Party) na matron wake ambae pia ni class mate Bi. Tumaini Nnko iliyofanyika katika viwanja vya Uhuru Peaks Jijini Arusha.
IMG_0130
Muda wa Shampeni ilihusika kwa wao wenyewe kufungua
IMG_0131
Mawifi na Shemeji wakipata shmpeni...
IMG_0139
Muda wa Keki ya Unga sasa......
IMG_0140
Nilishe nikulishe kama ishara ya Upendo...
IMG_0143
Keki moja kwa wakwe wa mzaa chema.....
IMG_0144

IMG_0145
Keki nyingine kwa Dada Mlezi wa Bi. Mary Meela mtoto kutoka hapo Moshi......
IMG_0146
Ndafu hiyooo.....si unaelewa tena sisi watu wa Kilimakyaro bila huyu keki kazi haiendi kabisa chaa....
IMG_0147

IMG_0148
Ndafu kwa Wazazi wapenzi....
IMG_0156
Kamti chukueni huyo ndafu mkamkatekate tule naniiiii.......
IMG_0158
Shangazi anamtoa Bi. Mary Meela aelekee hukooo Musoma....
IMG_0160

IMG_0163

IMG_0165

IMG_0170
Zawadi toka kwa Mama.....ni ....BIBLIA TAKATIFU......Bila Mungu hakuna chochote hapa Duniani....
IMG_0171
BIBILIA TAKATIFU HIYO HAPO SASA....
IMG_0172

IMG_0178
Wafanyakazi wenzake na Bi. Mary Meela kutoka DIAMOND TRUST BANK , tawi la Arusha nao wakimpongeza kwa kazi nzuri au maamuzi mazuri aliyoyachukua, ila yeye anafanya katika tawi la Mbeya .
IMG_0181
Class mate Mwingine huyoooo Mary Kinisa a.k.a Posh (kushoto) akimpongeza Bi. Mary Meela kwa hatua aliyoifikia , ndoa sio mchezo .....!!!
IMG_0183
Kapu la Mama sasa....!!!!
IMG_0187

IMG_0192
Anakabidhiwa kapu lenye vyombo mbali mbali....
IMG_0195
WOSIA WA DADA.....dada yake na Bi. Mary Meela akimhusia kuwa CHUJIO hilo sio la kuchuja chai, bali la kuchuja mambo yote ya Umbea, Udaku, Ushakunaku, Ubazazi na uchafu wowote unaoletwa na watu , hiyo anapaswa kuchuja MANENO Hayo ili adumu kwenye Ndoa.
IMG_0197
Piga maombi sasa ili Mume mtarajiwa afike sasa.....Baba katika jina la Yesu.....Huyu Jamaa atokee mwenyeewe bila mimi kumtafuta....
IMG_0198
Yesu anajibu maombi ....amefika.....anamnyanyua kwa Upendo wa dhati...
IMG_0200
Wanapendeza kweli kweli.......
IMG_0203

IMG_0205
Chakula sasa.......: Picha zote kwa hisani ya Class Mate wa nguvu Gadiola Emanuel The CEO wa Wazalendo 25 Blog / kwa maelezo zaidi piga hapa 0755 643 633 au 0715 643 633. KARIBU SANA.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *