UTALII WA NDANI: FURAHIA UTALII WA TANZANIA KWA KUTEMBELEA MBUGA ZETU ZA WANYAMA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


11 Nov 2013

UTALII WA NDANI: FURAHIA UTALII WA TANZANIA KWA KUTEMBELEA MBUGA ZETU ZA WANYAMA

Simba Jike na Dume wakifurahiana...!!!
Pundamilia na rangi zao za kupendeza..!!!
Usingi ni popote jamani...
Tembo ndo mnyama mwenye mwili mkubwa kuliko wote katika hifadhi zetu...
UJANGILI NI HATARI kwa afya ya mnyama Tembo, hapa akijitafutia Maji ya kunywa.
Simba wanajipa raha mbugani..

Nyumbu wakifurahia mazingira yao..
Kila kitu kina haki ya kula ..

Kifaru akikatiza mbugani...



Chui wamepumzika kidogo...

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad