PICHA CHINI HAPO NI YA JAMAA ALIYEKAMATWA ARUSHA KWA KOSA LA KUTUMIA SARE ZA JESHI PASIPO YEYE KUWA MWANAJESHI,SWALI LA MSINGI JE MWIGULU YEYE KAPEWA RUHUSA YA KUTUMIA HAYO MAVAZI AU LA?NA KAMA SIO INABIDI AWAJIBISHWE KWA MUJIBU WA SHERI A
Wakuu habari?
hivi nchi hii sheria, kanuni na taratibu mbalimbali katungiwa nani,
kwasababu watu wanajiamlia tu
angalia huyu alivyo vaa, hivi angelivaa mtu wa kawaida/mwanainchi wa kawaida n.k angepona kweli?
naomba jeshi makini la JWTZ mmuwajibishe huyu mtu pia
kwani haki ni kwa wote watanzania
Dkt. Kuhenga azungumza Dhima ya vyombo vya habari kwa wanafunzi wa Kimataifa
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dkt. Dotto Kuhenga,
ametoa mhadhara kuhusu nafasi ya vyombo vya habari nchini Tanzan...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment