PICHA CHINI HAPO NI YA JAMAA ALIYEKAMATWA ARUSHA KWA KOSA LA KUTUMIA SARE ZA JESHI PASIPO YEYE KUWA MWANAJESHI,SWALI LA MSINGI JE MWIGULU YEYE KAPEWA RUHUSA YA KUTUMIA HAYO MAVAZI AU LA?NA KAMA SIO INABIDI AWAJIBISHWE KWA MUJIBU WA SHERI A
Wakuu habari?
hivi nchi hii sheria, kanuni na taratibu mbalimbali katungiwa nani,
kwasababu watu wanajiamlia tu
angalia huyu alivyo vaa, hivi angelivaa mtu wa kawaida/mwanainchi wa kawaida n.k angepona kweli?
naomba jeshi makini la JWTZ mmuwajibishe huyu mtu pia
kwani haki ni kwa wote watanzania
TEN/MET YAPONGEZA AMALI KWA VITENDO SHULE YA SEKONDARI MSANGANO,
MOMBA-SONGWE
-
Mratibu Taifa wa Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), Bi. Martha Makala
akiangalia moja ya matrekta yanayotumiwa na walimu wa Shule ya Sekondari
Msan...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment