MATEMBEZI YA SIKU YA TEMBO DUNIANI YAFANYIKA JIJINI ARUSHA, WAZIRI KAGASHEKI AONGOZA KWA KUTEMBEA KILOMTA 4 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

5 Oct 2013

MATEMBEZI YA SIKU YA TEMBO DUNIANI YAFANYIKA JIJINI ARUSHA, WAZIRI KAGASHEKI AONGOZA KWA KUTEMBEA KILOMTA 4

 Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Khamis Kagasheki akikata utepe kuashiria uzinduzi wa matembezi ya amani ya Tembo Duniani kupinga mauaji ya Tembo yaliyofanyika jijini Arusha.
 Kutoka kushoto ni Mrs. Tibaijuka akifuatiwa na Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Khamis Kagasheki,Mwenyekiti wa Tanzania Association of Tours Operators Willbert Chambulo.
 Baadhi ya Wanafunzi wakiwa katika Matembezi ya Siku ya Tembo Duniani
 Baadhi ya Wanaharakati wakiwa katika Matembezi ya siku ya Tembo Duniani
 Ma elfu ya Wananchi kutoka Arusha pamoja na wadau wengine kutoka Mikoa na nchi mbalimbali wakiwa katika Matembezi ya siku ya Tembo Duniani yaliyo Fanyika Jijini Arusha.
 Hawa ni Watoto Shupavu kabisa waliojitolea Mstari wa mbele katika Matembezi ya Tembo.
 Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Khamis Kagasheki akisaini katika moja la bango la siku ya Tembo , ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu
 Maandamano yakiwa yanaendelea
 Wa kwanza kutoka kushoto ni Mr. Peter ambaye ndiye alikuwa katika kamati kuu ya Maandalizi ya Siku ya Matembezi ya Tembo Duniani, na pia Makamu mwenyekiti wa Tanzania Association of Tours operators akiwa katika matembezi hayo
 Mheshimiwa Waziri wa Maliasili na UtaliiMhe. Kagasheki akiongoza Ma elfu ya watu wakiingia katika viwanja vya AICC ambapo ndipo ilikuwa kilele cha Matembezi hayo
 Afisa Mtendaji wa Chama cha Wakala wa Utalii TATO Ndugu Cyril Akko akitoa Maneno machache kabla ya ufunguzi Rasmi wa Kilele cha Matembezi ya Tembo Duniani.
 Meza kuu wakiongozwa na Mhe.Waziri wa Maliasili na Utalii Kagasheki wa nne kutoka kushoto wakiwa wamesimama kwa mda wa dakika moja kuwakumbuka Waliokufa katika Tukio la Westgate Kenya pamoja na Tembo walio uliwa .
 Mc akiwa anaanza Tukio rasmi kwa kuwakaribisha viongozi mbalimbali kwa ajili ya Kutoa salam zao na Risala
 Dr. Alfred kikoti Akitoa Mada yake juu ya Idadi ya Tembo ambao wamebakia , pia kuelezea kutokomeza kwa Biashara haramu ya uuzaji wa uuzaji wa Meno ya Tembo, na kusisitiza Tanzania inategemea Tembo katika Utalii.Picha zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633