MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFAA KUTOA UAMUZI WA MAPITIO YA HUKUMU YA NGUZA VICKING "BABU SEYA" NA MWANAE "PAPII" - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


31 Oct 2013

MAJAJI WA MAHAKAMA YA RUFAA KUTOA UAMUZI WA MAPITIO YA HUKUMU YA NGUZA VICKING "BABU SEYA" NA MWANAE "PAPII"


 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza 'Papii' wakiwa na nyuso za furaha wakati wakitoka katika Mahakama ya Rufaa baada ya majaji wa Mahakama ya Rufaa Tanzania kusikiliza maombi yao ya kuitaka mahakama hiyo kupitia hukumu iliyoitoa mwaka 2010.
 Nyuso za matumaini.......
 Johnson  Nguza 'Papii' akibusu mkono wake baada ya kuibusu ardhi mara baada ya kutoka mahakamani.
 Papii akinyoosha mkono juu kama ishara ya kumshukuru mungu.
 Waandishi wa habari wakiwa chini wakati wa harakani za kuchukua matukio mahakamani hapo.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza wakati wakitoka mahakamani.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza au Papii wakiwa  katika chumba cha Mahakama ya Rufaa Tanzania kabla ya kuanza kwa  kusikilizwa kwa rufaa yao ya kuitaka mahakama hiyo kupitia upya hukumu  iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo.  
 Watu waliohudhuria mahakama hapo wakifuatilia kesi hiyo.
 Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza au Papii wakiwa  katika chumba cha Mahakama ya Rufaa Tanzania kabla ya kuanza kwa  kusikilizwa kwa rufaa yao ya kuitaka mahakama hiyo kupitia upya hukumu  iliyotolewa Februari 10-2010 na mahakama hiyo.  
 Mahakamani.
Nguza Vicking 'Babu Seya' akiwa na Mwanawe Johnson  Nguza wakiteta jambo na wakili wao, Mabere Marando.
Kwa Picha  Zaidi bofya hapa >>>>

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad