MTAYARISHAJI NA MTANGAZAJI WA KIPINDI KIZURI HAPA TANZANIA MBONI MASIMBA WA "THE MBONI SHOW" AWAFUTURISHA VIONGOZI MBALI MBALI - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


30 Jul 2013

MTAYARISHAJI NA MTANGAZAJI WA KIPINDI KIZURI HAPA TANZANIA MBONI MASIMBA WA "THE MBONI SHOW" AWAFUTURISHA VIONGOZI MBALI MBALI

Rais Mstaafu wa Awamu wa Pili, Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza baada ya futari.
Mtangazaji wa kipindi cha Mboni Show, Mboni Masimba akiongea jambo.
 Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa (CCM), Dk. Asha-Rose Migiro (kushoto) naye alikuwa miongoni mwa waalikwa.
Sauda Mwilima (kushoto), mchumba wa Diamond Penny Mungilwa (kati) na dada wa Diamond Hasna (kulia) wakifuturu.
Mwanamuziki  wa miondoko ya mduara Zuwema Mohamed 'Shilole' (wa pili kulia) akiwa na wageni wengine waalikwa.
Baadhi ya wageni waalikwa.
Meya wa Ilala Jerry Slaa (kulia) na wageni wengine wakati wa futari hiyo.
Mkurugenzi  wa bendi ya African Stars 'Twanga Pepeta' Asha Baraka (kushoto) naye alikuwepo. Picha na mtandao wa Global Publisherz

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad