SIMON SIMALENGA AUAGA UKAPERA RASMI - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Jul 2013

SIMON SIMALENGA AUAGA UKAPERA RASMI


Simon Simalenga na Neema wakiwa katika nyuso za furaha baada ya kuuaga ukapera rasmi tarehe 27/7/2013 katika Kanisa Katoliki Parokia ya Bikira Maria Mama wa Mwokozi Sinza jijini Dar es Salaam.
Basi nichumu.... ni Kiss Mwaaah.....
Simon Simalenga na  Neema wakipata picha ya pamoja na wasimamizi wa ndoa yao.
Wanafamilia ,ndugu jamaa na marafiki waliokuja kushuhudia Ndoa takatifu ya Simon Simalenga na Neema.Kwa hisani ya Father Kidevu Blog

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad