BONDIA WA KITANZANIA HUKO THAILAND OMARI KIMWERI AMPIGA MTHAILAND KWA KNOCK OUT - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


31 Jul 2013

BONDIA WA KITANZANIA HUKO THAILAND OMARI KIMWERI AMPIGA MTHAILAND KWA KNOCK OUT


 Bondia Mtanzania,Omari Kimweri  anaefanya shughuli zake nchini Australia (kulia) akinyooshwa mkono juu kuashilia ushindi wake baada ya kumtwanga Ekkalak Saenchan  wa Thailand kwa KO raundi ya kwanza.
Bondia Mtanzania,Omari Kimweri  anaefanya shughuli zake nchini Australia (kulia) akimsukumia makonde mazito mfululizo bondia Ekkalak Saenchan  wa Thailand na kufanikiwa kumtwanga kwa kwa KO raundi ya kwanza mwishoni mwa wiki iliyopita.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad