MASANJA ,SHILOLE NA RAIS MSTAAFU MHE. ALI HASSAN MWINYI WAFUNIKA KWENYE TAMASHA LA KISWAHILI NCHINI MAREKANI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Tuesday, 9 July 2013

demo-image

MASANJA ,SHILOLE NA RAIS MSTAAFU MHE. ALI HASSAN MWINYI WAFUNIKA KWENYE TAMASHA LA KISWAHILI NCHINI MAREKANI

IMG_4557
Shilole na Masanja mkandamizaji wakikandamiza na kugaragaza kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na miaka 3 ya sherehe ya Vijimambo.
IMG_4276
Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi akihutubia mamia ya Watanzania waliofika kwenye Tamasha la Utamaduni wa Kiswahili na sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na kulifungua rasmi.
IMG_4293
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania New York, Bw. Haji akisoma shairi alilotunga maalum kwa ajili ya sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa kiswahili Marekani.
IMG_4264
Dj Luke akisoma hotuba yake kabla ya kumkaribisha Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mama Lily Munanka.
IMG_4270
Kaimu Balozi Mama Lily Munanka akishukuru kamati ya maandalizi na kumkaribisha mgeni rasmi Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.
IMG_4187
Kutoka kushoto ni Dj Luke, Mhe, Ali Hassan Mwinyi, Mhe. Ramadhan Muombwa Mwinyi, Mama Lily Munanka, Idd Sandaly na Baraka Daudi katika picha ya pamoja wakati wakiingia ukumbini.
IMG_4255
Watoto wa darasa la Kiswahili DMV wakiimba wimbo wa Taifa.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *