DKT. JAKAYA KIKWETE KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI, WABUNGE NA WACHEZA FILAMU WAFANIKISHA SHEREHE HIZO - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 8 July 2013

demo-image

DKT. JAKAYA KIKWETE KATIKA TAMASHA LA MATUMAINI, WABUNGE NA WACHEZA FILAMU WAFANIKISHA SHEREHE HIZO

u21
  Dr. Jakaya Kikwete akifungua na kuwaasa Watanzania wasidanganyike na watu wanaotaka kuwatenganisha hasa Kidini, Kisiasa na Kijamii,aliyasema hayo katika Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
u34
 Waziri wa Habari,  Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akimkaribisha Rais Jakaya Kikwete kutoa hotuba yake katika Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
u14
 Mwandaaji wa Tamasha la Matumaini Bw. Eric James Shigongo akisema yake machache kuhusu Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.

u45
 Kikosi cha wabunge wapenzi wa Simba
u46
 Waamuzi na wabunge wapenzi wa Yanga
u47
  Rais Jakaya Kikwete akilakiwa na refa Othman Kazi
u48
  Dkt. Jakaya Kikwete akiweka saini katika mpira uliochezwa katika na wabunge wa Simba na Yanga katika Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
u66
  Dkt. Jakaya Kikwete akisalimiana na beki tatu wa wabunge wa Simba Mhe. Joshua Nassari.
u2
 MC wa Tamasha la Matumaini Godwin Gondwe a.k.a Double G akiwa katika Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
u15
Millard Ayo a.k.a M.i.l.l.a.r.d- a.y.o wa Clouds FM akirusha vitu live
Tamasha la Matumaini lililofanyika katika uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Kwa picha zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *