Huyu ni Glory Gadiola Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, ambae mama yake (Upendo Mwakobela) ametimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa hapa duniani. Kama CEO wa Wazalendo 25 Blog na mume wa mama yake na Glory ,ninamtakia MAMA Glory maisha mema na yenye furaha na amani tele na aendelee kumlea mwanangu katika malezi bora. Mungu awe nae Daima. I LOVE YOU MY WIFE FOREVER...!!! |
WALIYOYAPAMBANIA WANAWAKE WENZETU MATUNDA YAKE TUNAYAONA - MBUJA
-
*Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Nishati, Neema
Mbuja amesema kile ambacho wanawake walikipambania katika majukwaa
mbalimbali ikiw...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment