| Huyu ni Glory Gadiola Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, ambae mama yake (Upendo Mwakobela) ametimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa hapa duniani. Kama CEO wa Wazalendo 25 Blog na mume wa mama yake na Glory ,ninamtakia MAMA Glory maisha mema na yenye furaha na amani tele na aendelee kumlea mwanangu katika malezi bora. Mungu awe nae Daima. I LOVE YOU MY WIFE FOREVER...!!! |
Serikali yaweka Mkakati Sekta ya Uzalishaji wa Dawa, yaanzisha Vivutio
Maalum Mloganzila na Kibaha
-
*Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam*
*Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetangaza uwekezaji mkubwa wa
kimkakati katika sekta ya uzalishaji wa daw...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment