| Huyu ni Glory Gadiola Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, ambae mama yake (Upendo Mwakobela) ametimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa hapa duniani. Kama CEO wa Wazalendo 25 Blog na mume wa mama yake na Glory ,ninamtakia MAMA Glory maisha mema na yenye furaha na amani tele na aendelee kumlea mwanangu katika malezi bora. Mungu awe nae Daima. I LOVE YOU MY WIFE FOREVER...!!! |
Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Julius Nye...
15 hours ago
No comments:
Post a Comment