Huyu ni Glory Gadiola Emanuel mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu, ambae mama yake (Upendo Mwakobela) ametimiza miaka kadhaa ya kuzaliwa hapa duniani. Kama CEO wa Wazalendo 25 Blog na mume wa mama yake na Glory ,ninamtakia MAMA Glory maisha mema na yenye furaha na amani tele na aendelee kumlea mwanangu katika malezi bora. Mungu awe nae Daima. I LOVE YOU MY WIFE FOREVER...!!! |
Tanzania na Comoro zajadiliana kushirikiana katika ngazi ya Miji
-
*Balozi wa Tanzania nchini Comoro,Saidi Yakubu amekaribishwa rasmi katika
mji wa Bangoi Kuoni na kuzungumza na uongozi wa mji huo kuhusu ushirikian...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment