Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

Tuesday, 2 June 2026

Kimataifa : Rais Samia Aondoka Kuelekea Urusi kwa Ziara ya Kitaifa


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Jijini Dar es Salaam kabla ya kuondoka nchini, kuelekea Shirikisho la Urusi kwa ziara ya Kitaifa itakayoanza tarehe 3 hadi 5 Juni, 2026 kwa mualiko wa Rais wa Shirikisho la Urusi, Mheshimiwa Vladimir Putin

No comments:

Post a Comment