Mwanamuziki wa kimataifa Beyonce (kushoto) akipiga picha na mchezaji maarufu wa Tenisi duniani wa kikeBi. Serena Williams (kulia) ,pia Beyonce alimuandikia Serena katika ukurasa wake wa kijamii barua ya kumpongeza kwa ushindi alioupata katika mashindano yaliyofanyika ufaransa (french Open).
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
Maji bwawa la Mindu ni Salama - Bonde la wami Ruvu
-
Na Farida Mangube Morogoro
Bodi ya Maji ya Bonde la Wami-Ruvu imewatoa hofu wakazi wa Manispaa ya
Morogoro kuwa maji ya Bwawa la Mindu ni salama, kwani ke...
No comments:
Post a Comment