Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikagua ujenzi wa nyumba za waalimu katika
shule ya Sekondari ya Mboga, iliyopo kata ya Msoga wilayani Bagamoyo. Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimwelekeza jambo Diwani wa Kata ya Msoga
Bwana Mohamed Mzimba wakati Rais alipotembelea shule ya Sekondari ya
Mboga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo. Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya wanafunzi wa shule
ya sekondari ya Mboga kata ya Msoga leo wakati Rais alipotembelea shule
hiyo leo kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba za waalimu shuleni
hapo.(picha na Freddy Maro)
ORYX GAS YAKABIDHI MITUNGI YA GESI YA KUPIKIA 100 KWA WAHARIRI NA WAANDISHI
WA HABARI DAR
-
WAHARIRI na Waandishi wa vyombo vya habari mbalimbali nchini wamepatiwa
mitungi 100 ya Kilo 15 yakiwa na majiko yake yenye sahani mbili ikiwa ni
sehemu y...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment