CHADEMA YAFUNIKA MJI WA IRINGA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


23 Apr 2013

CHADEMA YAFUNIKA MJI WA IRINGA

Katibu  mkuu  wa Chadema Dr. Wilbroad Slaa akihutubia  umati  mkubwa wa wananchi  wa jimbo la Iringa mjini katika  uwanja  wa Mwembetogwa mjini Iringa
Mbunge  wa   jimbo la Iringa mjini akiwapungia mkono  wananchi  waliojipanga barabarani  kuwapungia  wabunge wa Chadema na katibu mkuu  wa Chama   hicho.
Mbunge wa jimbo la Mbeya mjini Joseph Mbilinyi "SUGU"  akiwahutubia wananchi jimbo la Iringa mjini.
Mbunge  wa jimbo la Ubungo Mhe. John Mnyika  akiwahutubia wakazi  wa jimbo la Iringa mjini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad