Leo hii mtu mzima Chege Chigunda anafanya video yake mpya aliyoipa jina la
USWAZ TAKE AWAY, Chege anasema huu utakuwa ujio wake mwingine kabisa na
video hiyo amefanya na Adam Juma kutoka Visual Lab, pia katika wimbo huu
Chege amemshirikisha kijana mpya kabisa anajulikana kwa jina la DAINA na
hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa wakati wa utengenezaji wa video
hiyo.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
RAIS KAGAME ATUA TANZANIA
-
*Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya
Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati...
CRDB YAADHIMISHA MEI MOSI KITAIFA NJOMBE
-
*Na Mwandishi Wetu*
*Njombe. CRDB Bank Plc imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuunga mkono
wafanyakazi na maendeleo ya taifa kwa kudhamini na kushirik...
No comments:
Post a Comment