Baadhi
ya
Wamiliki wa magazeti Tando walioko jijini Dar es Salaam, wakiwa katika
picha
ya pamoja walipokutana katika tafrija ya kuwaaga, ashiriki wa shindano
la
Guinness Football Challenge 2013. Kutoka kushoto ni Kassim Mbaruku,
Fransic Dande, Josephat Lukaza, William Malecela, Ahmad Michuzi, John
Bukuku, Henry Mdimu na Othman Michuzi ambaye amekaa chini ni Mroki Mroki
a.k.a Father Kidevu.
RAIS KAGAME ATUA TANZANIA
-
*Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame amewasili nchini kwa Ziara ya
Kikazi ya siku moja yenye lengo la kuimarisha uhusiano wa uwili kati...
1 day ago
No comments:
Post a Comment