Baadhi
ya
Wamiliki wa magazeti Tando walioko jijini Dar es Salaam, wakiwa katika
picha
ya pamoja walipokutana katika tafrija ya kuwaaga, ashiriki wa shindano
la
Guinness Football Challenge 2013. Kutoka kushoto ni Kassim Mbaruku,
Fransic Dande, Josephat Lukaza, William Malecela, Ahmad Michuzi, John
Bukuku, Henry Mdimu na Othman Michuzi ambaye amekaa chini ni Mroki Mroki
a.k.a Father Kidevu.
DC MWEMA: HAKUNA ANAYESAHAULIKA KATIKA MAENDELEO…
-
*Nnn**Mkuu wa Wilaya ya Kiteto akagua miradi ya elimu yenye thamani ya
Shilingi bilioni 1.37*
*Mkuu wa Wilaya ya Kiteto, Mhe. Remidius Mwema,tarehe 17 Ago...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment