Baadhi
ya
Wamiliki wa magazeti Tando walioko jijini Dar es Salaam, wakiwa katika
picha
ya pamoja walipokutana katika tafrija ya kuwaaga, ashiriki wa shindano
la
Guinness Football Challenge 2013. Kutoka kushoto ni Kassim Mbaruku,
Fransic Dande, Josephat Lukaza, William Malecela, Ahmad Michuzi, John
Bukuku, Henry Mdimu na Othman Michuzi ambaye amekaa chini ni Mroki Mroki
a.k.a Father Kidevu.
WANANCHI TANGA, PWANI WAITIKIA VYEMA UBORESHAJI DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA
KURA
-
*Mpiga Kura Bi. Habiba Kingazi mkazi wa Mtaa wa Lumumba, Kata ya Ngamiani
Kaskazini akionesha kadi yake baada ya kuboresha taarifa zake katika
Daftari la ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment