HARUSI YA Bi. GRACE KINGALAME wa TBC 1 ILIPENDEZA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

7 Dec 2012

HARUSI YA Bi. GRACE KINGALAME wa TBC 1 ILIPENDEZA



 Mtangazaji wa Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC1), Grace Kingarame akiwa amependeza baada ya kufanyiwa mambo katika Saloon ya Centre Point, Mwenge, Dar es Salaam, ikiwa ni maandalizi ya kufunga harusi na Mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Jambo Julius Kihampa.


Upambaji ukiendelea
Una cheki sasa...!!!ulidhani sitaolewa...??
 
 Grace akiwa na mpambe wake

 Grace akiondoka Saloon tayari kwenda kupanda Remousine, kwenda kanisani St .Albano. 
Gari lililotumika sasa...!!!: Na kamanda wa matukio Blog

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633