HARUSI YA Bi. GRACE KINGALAME wa TBC 1 ILIPENDEZA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 7 December 2012

demo-image

HARUSI YA Bi. GRACE KINGALAME wa TBC 1 ILIPENDEZA


DSC_4183
 Mtangazaji wa Televisheni ya Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC1), Grace Kingarame akiwa amependeza baada ya kufanyiwa mambo katika Saloon ya Centre Point, Mwenge, Dar es Salaam, ikiwa ni maandalizi ya kufunga harusi na Mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Jambo Julius Kihampa.

DSC_4176

DSC_4180
Upambaji ukiendelea
DSC_4192
Una cheki sasa...!!!ulidhani sitaolewa...??
 
DSC_4194
 Grace akiwa na mpambe wake
DSC_4199

DSC_4202
 Grace akiondoka Saloon tayari kwenda kupanda Remousine, kwenda kanisani St .Albano. 
DSC_4197
Gari lililotumika sasa...!!!: Na kamanda wa matukio Blog

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *