SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA ASHIRIKI MAZISHI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 26 November 2012

demo-image

SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA ASHIRIKI MAZISHI


1Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwasili nyumbani kwa marehemu mzee Shree Jayantilal Pragji Rajani, maarufu kama Mzee Rajani kuhani Msiba.Mzee Rajani alifariki jumatano 21 Novemba, 2012 mjini London alikokuwa amelazwa
 2
 Spika Anne Makinda akisaini kitabu cha waombolezaji
 3.
 Mzee Pius Msekwa na Anne Abdallah Wakisaini Kitabu
10
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza waombolezaji kuweka maua katika mwili wa Mzee Rajani ikiwa ni ishara ya kutoa heshma za mwisho kwa marehemu  wakati wa kuaga mwili wa marehemu Mzee Rajani nyumbani kwake upanga
11
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa na Makamu  Mwenyekiti wa CCM bara Mzee Philip Mangula wakitoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa mzee Rajani
8
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisalimiana na Mzee Kingunge
7
Spika wa Bunge Mhe. Anne MakindaAkisalimiana na Mzee Pius Msekwa
6
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda Akisalimiana na Mama Anne Mkapa
9
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisalimiana na Mzee Salim Ahmed Salim
5
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda Akisalimiana na Mmoja wa Waombolezaji,Katikati ni Rostam Azizi Picha zote na Owen Mwandumbya-Bunge

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *