VODACOM FOUNDATION YAENDESHA KAMBI YA MATIBABU MKURANGA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 18 October 2012

demo-image

VODACOM FOUNDATION YAENDESHA KAMBI YA MATIBABU MKURANGA


001.MKURANGA

  Mkuu wa kitengo cha Vodacom foundation akizungumza na wakina mama wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani, waliojitokeza kupata matibabu katika kambi maalum iliyoadhiliwa na Chama cha madaktari wanafunzi Tanzania, na kufadhiliwa na Vodacom Foundation.
002.MKURANGA


003.MKURANGA
004.MKURANGA
Mmoja wa wakazi wa wilaya ya Mkuranga Mkoani Pwani akijiandikisha kupata huduma za Afya, katika kambi maalum ya utoaji wa huduma za afya iliyoandaliwa na Chama cha Wanafunzi madaktari na kufadhiliwa  na Vodacom Foundation, Mamia ya wakazi wa wilaya hiyo walitibiwa na kupata ushauri wa afya bure.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *