Madereva wa Boda Boda waandamana kupinga kutoa pesa ya Parking Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Aug 2012

Madereva wa Boda Boda waandamana kupinga kutoa pesa ya Parking Jijini Arusha


 Baadhi ya waendesha piki piki wakiwa na askari wakati wa mgomo huo eneo la Silent Inn Sakina,Jijini Arusha leo.

Takribani boda boda 1000 zilipaki katika eneo la Silent Inn Sakina, Jijini Arusha leo ,wakipinga ulipishwaji wa ada ya shilingi 500 ya  parking . 

  Umati wa waendesha boda boda wakiwa katika eneo la Silent Sakina, Jijini Arusha leo. 
Picha kwa hisani ya  : www.victormachota.blogspot.com   

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad