![]() |
MIKONOZZZZZZZZZZZZZZZZZ |
![]() |
Wanahabari waliotembelea maonyesho ya utalii na maliasili ARUSHA 2012. |
![]() |
Mh. Mustapha Akunay (Mkurugenzi wa Tanzania Associations of tours operators) akiwa na Adam Ihucha mwana habari. |
![]() |
Wadau wa blog yangu ya www.wazalendo25.blogspot.com ,kushoto ni Walter wa Creative Studio na Mh. Mpingo. |
![]() |
Hata kwetu wapo................................... |
![]() |
Wakurugenzi wa PALACE HOTEL ARUSHA wakipiga picha ya pamoja kwenye banda lao. |
![]() |
Linajielezaaaaaaaaaaaaaaaa |
![]() |
Na Farasi nazo zilikuwepo kwenye maonyesho ya Maliasili na Utalii Arusha. |
![]() |
Ngoma za Jadi nazo zilirindima.............................. |
![]() |
Watoto nao wali-enjoy sanaaaaaaaaaaaa........!!! |
![]() |
Watoto showzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz..... |
![]() |
Vyakula vya kila aina vilikuwepo . |
![]() |
Bendi ilikuwa ikitumbuiza kwa polepole..... |
![]() |
Watu mbalimbali wakijipatia vyakula na vinywaji mbali mbali.. |
![]() |
Haya ni mambo ya BENSON SECURITY SYSTEMS na Appliances mbalimbali.... |
![]() |
Sales Manager Bi. Khadija Sood akitoa maelezo kuhusu bidhaa za Benson Security systems.... |
![]() |
Administrator wa BENSON SECURITY SYSYTEMS LTD.Bi. Salma Dahal akipata picha baada ya kutembelewa na www.wazalendo25.blogspot.com leo kwenye banda lao.KARIBU FAIR 2012 |
![]() |
Huyu ni Gorillla kutoka Uganda akipita kuonyesha bidhaa zao. |
![]() |
Watoto nao wakipata picha ya pamoja......... |
No comments:
Post a Comment