NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII Dr. NYALANDU AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA NA UTALII ARUSHA (KARIBU- TRAVEL AND TOURISM FAIR -2012) - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Friday, 8 June 2012

demo-image

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII Dr. NYALANDU AFUNGUA MAONYESHO YA BIASHARA NA UTALII ARUSHA (KARIBU- TRAVEL AND TOURISM FAIR -2012)

IMG_4765
Kushoto mwenye suti nyeusi ni Mh. Mustapha Akunay (Executive Secretary wa Tanzania association of tour operators) na Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo.
IMG_4767
Kushoto mwenye suti nyeusi ni Mh. Mustapha Akunay (Executive Secretary wa Tanzania association of tour operators) na Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo, akiwa na Wafanyakazi wa Karibu Travel and Tours.
IMG_4773
 Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo akipiga picha na wafanyakazi wa KARIBU FAIR.
IMG_4776
Kushoto mwenye suti nyeusi ni Mh. Mustapha Akunay (Executive Secretary wa Tanzania association of tour operators)  katika viwanja vya maonyesho Arusha leo,akipiga picha na wacheza ngoma waliofika eneo hilo.
IMG_4783
Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho ya biashara na utalii Arusha leo.
IMG_4785
 Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo,akipiga picha na mdau.
IMG_4788
 Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo,akipiga picha na wadau wa KARIBU FAIR.
IMG_4792
 Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo,akipiga picha na wafanyakazi wa SUNNY  SAFARIS ya Arusha.
IMG_4795
 Naibu waziri wa maliasili na utalii Mh. Nyalandu katika viwanja vya maonyesho Arusha leo,akipiga picha na wacheza ngoma .

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *