![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjXeBpB5deC0BupNykliGSK0z_4b6tyfJxsFOLpkZD9biDAJuP7zYoA70awzDx0mpxtPyKo_4S2kkLuRYQzQGpUhNTiaCijnssSyo9u27w_su9qvZNJqfBRW40_00GD_dCXhyxN4s7rdCc/s640/wazalendo-rukia.jpg)
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kabla ya kuchezesha droo ya kwanza ya mwezi kupitia promosheni ya M-pesa ili kupata mshindi wa shilingi Milioni kumi, wa pili kulia ni Afisa Masoko wa M-pesa Reenu Verma, na Meneja wa Mifumo ya kompyuta Bw. Patrick Makungu pamoja na mwakilishi wa Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania bi. Chiku Saleh.
No comments:
Post a Comment