Vodacom Tanzania Yachezesha Droo ya Kwanza ya Mwezi Kupitia Promosheni ya Vodacom M-Pesa - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 14 March 2012

demo-image

Vodacom Tanzania Yachezesha Droo ya Kwanza ya Mwezi Kupitia Promosheni ya Vodacom M-Pesa

wazalendo-rukia
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano wa Vodacom Tanzania Rukia Mtingwa (kulia) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kabla ya kuchezesha droo ya kwanza ya mwezi kupitia promosheni ya M-pesa ili kupata mshindi wa shilingi Milioni kumi, wa pili kulia ni Afisa Masoko wa M-pesa Reenu Verma, na Meneja wa Mifumo ya kompyuta Bw. Patrick Makungu pamoja na mwakilishi wa Bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania bi. Chiku Saleh. 

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *