Mgombea ubunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA Bw. Joshua Nassary atembelea soko la Tengeru Arusha na kukutana na wananchi waliokuwemo hapo. Mbunge huyu ametokea kupendwa sana na wazee, wa mama na vijana walioko katika jimbo hili la Arumeru Mashariki...... |
NAIBU WAZIRI SILLO ALITAKA JESHI LA POLISI KUZINGATIA HAKI NA WELEDI
-
NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Daniel Sillo amelitaka Jeshi la
Polisi kuendelea kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Haki, weledi na
uadili...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment