MGOMBEA UBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA SOKO LA TENGERU-ARUSHA. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


14 Mar 2012

MGOMBEA UBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI ATEMBELEA SOKO LA TENGERU-ARUSHA.

Mgombea ubunge wa Arumeru Mashariki kwa tiketi ya CHADEMA Bw. Joshua Nassary atembelea soko la Tengeru Arusha na kukutana na wananchi waliokuwemo hapo. Mbunge huyu ametokea kupendwa sana na wazee, wa mama na vijana walioko katika jimbo hili la Arumeru Mashariki......

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad