![]() |
| Jombaa alikuwa busy anatembeza ndizi...mimi nadhani lazima watu wanunue kwa wingi kwa sababu ,jinsi jamaa alivyotupia hayo masuti na tai lazima uamini huu ndio ujasiriamali halisi.. |
SERIKALI YAHIMIZA WANANCHI KUPATA ELIMU YA FEDHA
-
Kaimu Kamishna wa Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha,
Bi. Dionisia Mjema (Katikati), akizungumza katika mkutano na wanahabari wa
Jiji...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment