WIKI YA MAJI YAZINDULIWA ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 21 March 2012

demo-image

WIKI YA MAJI YAZINDULIWA ARUSHA


925_2340
 Mkuu wa wilaya ya Arumeru Mercy Sila hapa anapanda mti katika kijiji cha Kivulili kilichopo wilayani Arumeru, mkoani Arusha. sehemu  hiyo ndipo wiki ya maji  ilipozinduliwa kwa mkoa wa Arusha ,alipanda mti huu kwa ishara ya kuonyesha ni jinsi gani wameweza kuifadhi eneo hili kwa ajili ya maji.


925_2359
 Mwenyekiti wa bodi ya  Shirika la Maji La Arusha (AUSA) Bw. Filex Mrema akiweka mchanga kwenye nguzo ambazo waliziotesha katika kiwanja hicho kuzuia watu kupita kiholela.
925_2390Mkuu wa wilaya ya Arumeru,mercy Sila akiwa anahutubia wananchi walioudhuria katika sherehe za uzinduzi wa wiki ya maji.
925_2333
wamaasai nao hawakuwa nyuma katika kutoa burudani nzuri na ya kuvutia.
Serekali imetakiwa kuwachukulia hatua kali wale wote ambao wanafanya kazi ya kukata miti bila vibali pamoja na wale wote ambao hawatunzi mazingira ambayo yanayo wazunguka,
Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa kijiji cha Kivulili Bw.  Raphael  Kulei katika kata ya Orturoto wilayani Arumeru.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *